Kutawadha Maana ya Kutawadha
Udhu katika lugha
Uzuri na usafi
Udhu katika Sheria
Kutumia maji kwenye viungo maalumu kwa nia ya kujitwahirisha
Hukumu ya kutawadha
Kutawadha: ima ni lazima na ima inapendekezwa:
a. Ni lazima kutawadha kwa mambo matatu
1. Kuswali
Mwenyezi Mungu U Anasema: {Enyi Mlioamini! Mnapo simama kwa ajili ya swala basi osheni nyuso zenu, na mikono yenu mpaka vifundoni, na mpake vichwa vyenu, na osheni miguu yenu mpaka vifundoni} [5: 6]
2. Kutufu Alkaba:
Kwa kauli yake Mtume ﷺ kumwambia mwanamke aliye katika hedhi: (Usitufu mpaka utwahirike) [ Imepokewa na Bukhari.].
3. Kushika Msahafu:
Kwa neno lake Mwenyezi Mungu U: {Hawaigusi isipokuwa wale waliotwahiriwa} [56: 79
[وحدهم المشرفون لديهم صلاحيات معاينة هذا الرابط]